HOTUBA YA RAIS SAMIA LEO APRIL 06, 2021| SEKTA ALIZOCHAMBUA (+VIDEO)

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aamewaapisha Viongozi walioteuliwa Aprili 04, 2021. Hafla ya uteuzi imefanyika Ikulu Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Viongozi wengine wa Kitaifa akiwemo Waziri Mkuu Walioapishwa ni Makatibu Wakuu na Naibu Wakatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali pamoja na Wakuu wa Taasisi kadhaa za Serikali ​HOTUBA YA RAIS SAMIA SULUHU